Search This Blog

Friday, February 7, 2014

KUTOKA TWITTER: MRISHO NGASSA AKIRI AMISI TAMBWE NI HATARI, AZUNGUMZIA KUFIKIRIA KUACHA KUCHEZA SOKA NA MECHI YA MBEYA CITY

Mshambuliaji wa klabu ya Yanga ametumia akaunti ya mtandao wake wa Twitter kutoa sifa nzuri kwa mshambuliaji wa klabu ya Simba Amisi Tambwe. Ngassa pia ametumia akaunti hiyo kuzungumzia changamoto alizokutana nazo kwenye soka kiasi cha kufikiria kuachana na mchezo huo, huku akisema mechi ya Yanga dhidi ya Mbeya City ni mechi kubwa sana kwenye kumbukumbu zake za soka na alifurahia mno kushinda.


No comments:

Post a Comment