Search This Blog

Friday, January 17, 2014

SHABANI KADO YUPO BIZE NA MAZOEZI NCHINI OMAN.




Golikipa wa Coastal Union,Shabani Kado akijipumzisha baada ya mazoezi makali,Kado yupo na timu yake ya Coastal Union inayojiandaa na mzunguko wa pili wa ligi kuu ya VODACOM nchini Oman.

No comments:

Post a Comment