Search This Blog

Thursday, January 23, 2014

SAKATA LA OKWI NALIFANANISHA NA LILE LA BESELA BOKUNGU WA TP MAZEMBE.


6 comments:

  1. Yanga ni viherehere sana wacheni yawakute ,kwani wao ck zote hupenda sana usajili wa mashindano na mizozo sasa safari hii kisiki wamekikwaa ,yeye bin kleb alipewa ushaur juu ya usajili wa okwi akasema, namnukuu"suala la kumsajili okwi yanga ni gumu kwa sababu ana mkataba na timu ya Tunisia"mwish wa kunukuu lkn hapo hapo akarud yeye na wenzak wakamsajili na majigambo na bwebwe nying haya sasa subirini rung la fifa laja,Hanspope aliwaambia tunawacha mrukeruke tu tunajua wapi mtaangukia kwa okwi mmeliwa.lkn hakuna neno wanayanga mume wao manji yupo watakwenda kumpigia magoti km walivyompigia magoti ktk mkutano agombee tena, na hapo hapo bdo wataka wajiingize tena kwa shomari kapombe,kazi kwenu wanayanga

    ReplyDelete
    Replies
    1. Unatakiwa uwe na hekima na si kutukana unapotoa maoni yako. Hayo ya viherehere na Manji mume wa Yanga yanatoka wapi? Yanga inawahusu watu wegi, kuwa mstaarabu.

      Delete
  2. Hakuna ujanja ktk hili Yanga naona wameliwa

    ReplyDelete
  3. Nafikiri ndiyo utamaduni wa watu wengi wanaopenda simba ni kutukana tu hata kwa mambo yanayohitaji ustaarabu.Pengine tutaomba wanasayansi wafanye utafiti na kutupatia majibu kwa nini kila mtu anayeshabikia simba sc hata awe profesa lazima anakuwa ni mtu wa kutukana tu kila wakati,inawezekana sio kosa lao bali ni tatizo la kisayansi linalosababishwa ama na kupenda rangi nyekundu au sababu nyingine ambazo utafiti huo utatusaidia kubaini hivyo tutawachukulia kama walivyo

    ReplyDelete
  4. Ni kweli wanasayansi wanatakiwa wafanye utafiti lkn c kwa simba peke yake bali hata kws yanga kwa nini kila siku twaona matatizo ya usajili yapo kwa yanga tuuu ?Hatusikii Azam imemsajili mchezaji mwenye matatizo na club fulani? Kila siku ni Yanga? Mara ngasa mara twite mara yondani mara chuji, wote hawa walisajiliwa kwa matatizo ingawa mwishowe waliidhinishwa Yanga, ustaarabu upo wapi hapa? Ktk hili la usajili wa yanga? Na jengine laja la kapombe, wanajua hivi hivi ana matatizo na club yake ys ufaransa wanajiingiza tena

    ReplyDelete
  5. Ayaaa Masikini ya Mungu kumbe wanasema mambo yao wanafanya kimya kimya kumbe Madudu matupu each a walie na Okwi. Kumbe Bin Kleb ni Mbumbumbu, Ndio maana manji kachoka kuliongoza hilo Yanga mzigo usiyobebeka. Mambo yao kama wametoka usingusingizini. Mchezesheni huyo Okwi kama mlivyofanya kwa Haroub Kanavaro utajuta kusikia. Nyooooo.

    ReplyDelete