Search This Blog

Thursday, January 2, 2014

PICHA ZA WATANGAZAJI NA WANAFAMILIA WENGINE WA CLOUDS FM WAKITOA MISAADA DSM.


100Ni tukio ambalo limefanyika Jan 1 2014 ikiwa ni siku ya kilele cha shamrashamza za miaka 14 ya kuzaliwa kwa Clouds FM ambapo ikiwa ni radio ya watu na kutambua kwamba kuna wengine wanaopitia matatizo kwenye maisha yao kwa wakati huu, team nzima iliingia mtaani na kutoa misaada mbalimbali.
Misaada ilianza kutolewa kwenye hospitali ya Temeke ambapo ilitolewa kwa Wagonjwa na kwa hospitali yenyewe na baada ya hapo team nzima yenye zaidi ya watu 30 ikaelekea moja kwa moja kwenye kituo cha Keko Machungwa ambacho kinamilikiwa na kijana Yohana aliekua anatumia dawa za kulevya ambae ameacha na kuanza kusaidia wengine.
Kwenye kituo hiki ambacho kilitambua umuhimu wa maneno ‘radio ya watu’ kilipeleka maombi ya kusaidiwa mashine ya Compressor ili kurahisisha kazi ya useremala kwenye ofisi ya kituo hiki chenye waathirika 40 ambao baada ya kutibiwa wamekua wakipewa mafunzo ya useremala ili kupata kipato kwa hiyo kazi.
101Team CLOUDS FM na wagonjwa hospitalini
103Mrisho Mpoto ni mmoja wa Wasanii waliojitokeza kuunga mkono.
104Regina Mwalekwa hospitali
105
106Mtu wako wa nguvu kwenye wodi ya watoto
107
122Kuanzia hii picha ya juu na hizi zinazofata ni tukiwa kwenye kituo cha Keko Youth Centre
121Shamba wanalolimia mboga watu wanaosaidiwa na kituo hiki
120Yohana mwenye kituo, Sebastian Maganga ambae ni mkuu wa vipindi Clouds FM pamoja na Said Fela kiongozi wa Wanaume Family.
119
118
117Team Clouds ikimsikiliza Yohana
116Msaada uliotolewa na Clouds FM
115Sehemu ya miradi inayomilikiwa na kituo hiki cha kusaidia watu walioathirika na dawa za kulevya.
114
113Mtu wako wa nguvu na watu wake wa nguvu mtaani, ni furaha yangu.
112Hizi picha hapa chini zinazofata ndio Team Clouds ilikua inakabidhi misaada kwa hospitali ya Temeke.
111
110
109
108

1 comment:

  1. Clouds mmetufundisha kitu pamoja na kutukumbusha uliowajibu wetu,Mungu awabariki sana kwa baraka za rohoni na za mwilini.

    Niwatakie kazi njema sana.

    Abraham J. Mcharo
    DUCE.

    ReplyDelete