
Misaada ilianza kutolewa kwenye hospitali ya Temeke ambapo ilitolewa kwa Wagonjwa na kwa hospitali yenyewe na baada ya hapo team nzima yenye zaidi ya watu 30 ikaelekea moja kwa moja kwenye kituo cha Keko Machungwa ambacho kinamilikiwa na kijana Yohana aliekua anatumia dawa za kulevya ambae ameacha na kuanza kusaidia wengine.
Kwenye kituo hiki ambacho kilitambua umuhimu wa maneno ‘radio ya watu’ kilipeleka maombi ya kusaidiwa mashine ya Compressor ili kurahisisha kazi ya useremala kwenye ofisi ya kituo hiki chenye waathirika 40 ambao baada ya kutibiwa wamekua wakipewa mafunzo ya useremala ili kupata kipato kwa hiyo kazi.





















Clouds mmetufundisha kitu pamoja na kutukumbusha uliowajibu wetu,Mungu awabariki sana kwa baraka za rohoni na za mwilini.
ReplyDeleteNiwatakie kazi njema sana.
Abraham J. Mcharo
DUCE.