Search This Blog

Thursday, January 9, 2014

MESSI AREJEA NA KUFUNGA MABAO MAWILI HUKU BARCELONA IKISHINDA MABAO 4-0 DHIDI YA GETAFE.

 Messi akishangilia moja ya mabao yake aliyofunga hapo jana usiku



Lionel Messi alirejea dimbani jana usiku na ilimchukua dakika 25 tu kuweza kufunga mabao mawili kwenye mchezo ambao timu yake ya Fc Barcelona iliifunga Getafe mabao 4-0 ,mabao mengine yalifungwa na kiungo Cesc Fabregas.
Mess alikuwa anarejea dimbani baada ya kukosekana kwa siku 50 kutokana na majeraha yaliyokuwa yanamsumbua.

   Hii picha ilipostiwa kwenye account ya instagramya kiungo Alex Song wakati wakipata chakula cha usiku mara tu baada ya mchezo huo, kutoka kushoto ni : Jose Pinto,Messi,Fabregas,Pique na Song

1 comment: