Search This Blog

Monday, January 6, 2014

KAKA AIFUNGIA MILAN BAO LA 100.

Leo hii kiungo wa AC MILAN raia wa Brazil Ricardo KAKA ameifungia timu yake mabao mawili kwenye ushindi wa mbao 3-0 dhidi ya ATALANTA kwenye mchezo wa Serie A.
kaka kabla ya mchezo wa leo alikuwa ameifungia Milan mabao 99.

No comments:

Post a Comment