Kuendelea kufanya vibaya kwa klabu ya Manchester Utd ya
nchini England kwenye mashindano mbalimbali kumeendelea pia kuwanyima Pesa ‘MTONYO’
wale wote wanaocheza michezo ya kubashiri matokeo (Betting).
Miongoni mwa walioathirika kutokana na mwenendo mbaya wa timu
hiyo ni mwanamuziki wa bongo fleva, CHEGGE CHIGUNGA,
Chegge amekuwa aki-bet Man Utd washinde bila mafanikio kwa siku za karibuni ,
'' Mimi ni mpenzi mkubwa wa Man Utd,dunia nzima inajua sababu
kubwa inayoifanya timu hiyo ifanye
vibaya kwasasa ni Kocha David Moyes,iwapo
kocha huyu ataondolewa basi naamini Man Utd itarejesha makali yake’,pia kamwe
siwezi ‘ku-bet’ kwa timu pinzani kuifunga
Man Utd kwasababu naipenda sana Man Utd ''.
BOFYA CHINI KUMSIKILIZA CHEGGE CHIGUNDA..
ubingwa mwakani ni wetu bila tatizo lolote na kocha huyo huyo namuomba chege ahame timu yetu maana kashaanza kuitia gundu
ReplyDeletePole san,,, chege chigunda mtoto wa mama saidi,,,,,titizo ni formation 4 5 1 ,,,,inaikosti man united.
ReplyDelete