Search This Blog

Saturday, November 9, 2013

TUZO ZA MWANASOKA BORA WA TANZANIA: HARUNA NIYONZIMA AIBUKA KIDEDEA, AWABWAGA KIEMBA NA YONDANI

Hii ndio ilikuwa kamati iliyoratibu tuzo hizo :Zamoyoni Mogella ( Mwenyekiti ), Kenny Mwaisabula ( Kaimu katibu ), na wajumbe Shaffih Dauda, Boniface Wambura,Edo Kumwembe na Doris Malyaga.

  Godfrey Nyange akimkabidhi tuzo mwaamuzi bora Oden Mbaga.
Ezekiel Kamwaga akipokea  tuzo ya kocha bora wa mwaka kwa niaba ya Abdallah Kibadeni.
Zamoyoni Mogella akitoa tuzo ya bao la mwaka kwa mwakilishi wa Thomas Ulimwengu.

Rais wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), Leodegar Tenga kushoto akimkabidhi tuzo ya Ufungaji Bora mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche kutoka Ivory Coast katika tuzo za gazeti la Mwanaspoti usiku wa jana ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.




Kiungo wa Simba Amri Kiemba akipokea tuzo ya 11 Bora





Niyonzima akikabidhiwa tuzo ya mwanasoka bora wa mwaka.
Haruna Niyonzima akikabidhiwa zawadi yake ya kuwa mwanasoka bora wa Tanzania




  Haruna Shamte ( kushoto ),Ramadhani Singano pamoja na mdau.


 
Joseph Kimwaga wa Azam Fc ndiye alichukua tuzo ya mwanasoka chipukizi.


Rais wa zamani wa SAFA,Kirsten Nematandani akimpatia tuzo Haruna Niyonzima ya mwanaoka bora wa kigeni wa mwaka.
Juma Nature Kibla akitumbuiza kwenye tuzo hizo


Rais wa heshima wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wakili Said El Maamry akimkabidhi tuzo ya Mchezaji bora wa Tanzania anayecheza nje, mwakilishi wa mshindi wa tuzo hiyo, Mbwana Samatta wa TP Mazembe ya DRC

No comments:

Post a Comment