Search This Blog

Thursday, October 31, 2013

;LIVE SCORE: SIMBA SC 1 - 1 KAGERA SUGAR



Mashabiki wa Simba wanang'oa viti vya uwanja wa taifa na mashabiki wanapambana na Polisi ambao wanalipua mabomu ya machozi. 

Dk 90+5 FULL TIME! Simba 1-1 Kagera. 

Dk 90+4 GOOOOO....! Salum Kanoni anaipatia Kagera bao la kusawazisha kwa njia ya penalti. Simba 1-1 Kagera. 

Tunaomba radhi kwa uchelewaji wa updates ni kutokana na network mbovu uwanjani.

Dk 84 Tambwe anachezewa faulo na Martin Muganyizi. Simba 1-0 Kagera. 

Dk 73 Kagera wanapiga faulo na kukosa. 

Dk 73 Kipa wa Simba anachelewesha mpira na mwamuzi anaamuru faulo ipigwe kuelekea lango la Simba. Simba 1-0 Kagera. 

DK 60 Simba 1 - 0 Kagera 

Dk 57 Timu zinashambuliana kwa zamu na Kagera wanaonekana wameamka. 
Kipindi cha pili kinaanza
Dk 45 HALF TIME...! Simba 1-0 Kagera. 

Dk 45 GOOOOO...!  Simba imepata bao la kwanza kupitia kwa Amisi Tambwe ambae aliwatoka mabeki wa Kagera, Salum Kanoni na Ernest Mwalupani. 

DK 40 Simba wanalisakama lango la Kagera wakisaka goli. Ila milango bado ni migumu.

DK 30' Simba 0-0 Kagera Sugar 

Dk 21 Kagera wamefanya mabadiliko ya kipa, katoka agaton anthony ambaye ameumia bada ya kugongana na Tambwe kaingia hannington kalyesubula. 

DK 10 - Simba 0-0 Kagera Sugar

DK 5 Timu zinacheza soka taratibu kwa kusomana

Dk 00 MPIRA UMEANZA! 

Simba: Abuu Hashimu, Nassoro Masoud 'Chollo', Issa Rashid, Joseph Owino, Hassan Khatib, Jonas Mkude, Ramadhani Singano, Said Ndemla, Betram Mwombeki, Amisi Tambwe na William Lucian

Kagera Sugar: Agaton Antony, Salum Kanoni, Martin Muganyizi, Ernest Mwalupani, Malegezi Mwangwa, Zuberi Dabi, Benjamin Asukule, George Kavilla, Themi Felix, Daudi Jumanne na Paul Ngwai

2 comments:

  1. Mbona kimya..matokeo vipi?

    ReplyDelete
  2. VP bado Mpira haujaisha tu? hahahaha au bundle limekata?

    ReplyDelete