Search This Blog

Thursday, October 10, 2013

ANGALIA ZOEZI HILI LA SPAIN U-21.

 
Timu ya taifa ya Hispania imeshinda karibia mataji yote makubwa kuanzia mwaka 2008, timu yao ya vijana chini ya U-21 hivi karibuni ilichukua ubingwa wa mataifa ya ulaya ya umri chini ya miaka 21. 

 Kutokana na hayo mafanikio basi ungedhania wanafanya mazoezi makali sana,ukiangalia hiyo Video hapo juu utaona kumbe siyo muda wote wanatoa macho. Wakati wakiwa mazoezini waliamua kucheza mchezo kati ya magolikipa wote watatu dhidi ya wachezaji 18 wa ndani.
Pamoja na mshambuliaji wa Real Madrid Alvaro Morata kuifungia timu yake bao la ushindi lakini cha moto walikiona kutokanana umahili wa magolikipa kutokubali kufungwa kirahisi

No comments:

Post a Comment