Search This Blog

Saturday, September 28, 2013

YANGA ILIVYOTAKATA UWANJA WA TAIFA KWA KUICHAPA RUVU SHOOTING 1-0


Wachezaji wa Yanga, Simon Msuva (kushoto), Nadir Haroub (Canavaro), wakiwania mpira katika lango la Ruvu Shooting, wakati wa mchezo wa Ligi kuu ya soka Tanzania bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Yanga imeshinda 1-0. (Picha na Francis Dande)
Simon Msuva (kushoto) 
 Mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu akichuana na beki wa Ruvu Shooting, Shaban Suzan.
 Golikipa wa Ruvu Shooting, Abdul Seif akiokoa moja ya hatari zilizoelekezwa langoni mwake.
 Furaha ya ushindi......Wachezaji wa Yanga, wakishangilia balo lililofungwa na Mrisho Ngasa.
 Simon Msuva akichuana na beki wa Ruvu Shooting.
Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa akimtoka beki wa Ruvu Shooting, Stephano Mwasika. 
 Mshambuliaji wa Ruvu, Shooting, Ayoub Kitala akimiliki mpira huku akizongwa na mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa. Kushoto ni Cosmas Lewis

No comments:

Post a Comment