Search This Blog

Saturday, September 14, 2013

LIVE SCORE VODACOM PREMIER LEAGUE: YANGA 1-1 MBEYA CITY - SIMBA 2-0MTIBWA - KAGERA 1-1 AZAM FC



Full time Mbeya City 1-1 Yanga

Dakika ya 85, Mbeya City 1 - 1 Young Africans

Dakika ya 75, Mbeya City 1 - 1 Young Africans

Dk 90+4. FULL TIME! SIMBA 2-0 MTIBWA 

Kavumbagu anaisawazishia Yanga hapa Sokoine - Mbeya City 1-1 Yanga.

Dk 90 GOOOO....! Mwombeki anaipatia Simba bao la pili baada ya kupokea pasi ya Ramadhan Singano. SIMBA 2-0 MTIBWA 

Dk 88 Mwombeki anakosa bao baada ya kushindwa kupiga shuti kuelekea lango la Mtibwa. SIMBA 1-0 MTIBWA 

Dk 70  Mbeya City 1 Yanga 0

Dk 80 SUB: Simba inafanya mabadiliko ametoka Chanongo ameingia Ramadhan Singano. 

Dk 76 SUB: Mtibwa inafanya mabadiliko ametoka Kisiga ameingia Abdallah Juma. 

DK 53 Mbeya City wanapata bao la kuongoza dhidi ya mabingwa watetezi Yanga

Dk 74 Kisiga anakosa bao la wazi akiwa ametengewa mpira sehemu nzuri langoni kwa Simba. 

Dakika ya 50 Mbeya City 0-0 Yanga

Dakika 56' Kagera Sugar 1-1 Azam Mcha Khamis anaisawazishia Azam 

Dk 67 GOOOOOO....! Henry Joseph anaipatia Simba bao la kwanza kwa kichwa akiunganisha krosi fupi ya Kiemba. SIMBA 1-0 MTIBWA 

Dk 64 SUB: Simba inafanya mabadiliko ametoka Twaha Ibrahim ameingia Betram Mwombeki. 

Dk 61 Kisiga wa Mtibwa anakosa bao la wazi la mbali baada ya Dhaira kukosea kuanzisha mpira. 

Dk 59 SUB: Mtibwa imefanya mabadiliko ametoka Masoud Mohamed ameingia Awadhi Juma. 

Katika uwanja wa Sokoine mpira ni mapumziko na hakuna timu iliona goli la mwenzake.

Dk 56 SUB: Simba inafanya mabadiliko ametoka Said Hamis ameingia Henry Joseph. 

Dk 52 Owino wa Simba anamchezea rafu Mgosi nje kidogo ya eneo la hatari la Simba. 

Dakika 52' Simba 0-0 Mtibwa Sugar 

Dk  44 Mbeya City 0 Yanga 0

Dk 46 SUB: Mtibwa imefanya mabadiliko ametoka Juma Liuzio ameingia Mussa Hassan Mgosi. 

Dk 45 KIPINDI CHA PILI KIMEANZA! 

 Dakika ya 30, Mbeya City 0 - 0 Young Africans

Dk 45 HALF TIME! SIMBA 0-0 MTIBWA 

Dk 24' Kagera Sugar 1-0 Azam Fc ( Themi Felix) 

DK 15 - Milango bado haijafunguka katika mchezo kati ya Yanga na Mbeya 

Dk 40 YELLOW CARD....! Masoud Mohamed wa Mtibwa anaonyeshwa kadi ya njano baada ya kumchezea vibaya Jonas Mkude wa Simba. 

Dk 33 Chanongo wa Simba anamchezea rafu Kisiga wa Mtibwa. SIMBA 0- 0 MTIBWA 

Dakika ya 10- Mbeya City 0-0 Yanga

Dk 27 Joseph Owino wa Simba anamchezea rafu Ally Shomari wa Mtibwa nje kidogo ya lango la Simba. 

Dk 24 Ngalema wa Mtibwa ameumia baada ya kuwekewa mguu na Chanongo, wakati huohuo Mtibwa imepata kona lakini haikuzaa matunda. Simba 0-0 Mtibwa 

Dk 15 Chanongo wa Simba anachezewa tackling na Ally Shomari wa Mtibwa na mpira unakuwa kona kuelekea lango la Mtibwa. Mashabiki wa Simba wanalalamikia maamuzi hayo.

Mpira umeanza mjini Mbeya kati ya Yanga vs Mbeya City

Dk 11 Vincent Barnabas wa Mtibwa anakosa bao la wazi akiwa ndani ya eneo la hatari la Simba baada ya mpira alioupiga kutoka nje ya lango. 

Dk 9 Dickson Daud Mbeikya anamchezea faulo Tambwe wa Simba. Mtibwa wanacheza soka la nguvu zaidi. 

Dk 7 Paul Ngalema wa Mtibwa  anamchezea faulo Amis Tambwe wa Simba. Timu zinashambuliana kwa zamu lakini Simba ndiyo inayofika langoni kwa Mtibwa mara kwa mara.

Uwanja wa taifa mpira umeanza kati ya Simba na Mtibwa - Dakika 2 za kwanza Simba wanalisakama sana lango la Mtibwa na kupata kona mbili tasa. 

BAADHI YA VIKOSI VYA TIMU ZINAZOCHEZA LEO
AZAM FC

1. Mwadini Ali Mwadini
2. Erasto Edward Nyoni
3. Waziri Sallum Omar
4. Aggrey Moris Ambrosi
5. Jockins Otieno Atudo
6. Bolou Wilfred Michael
7. Jabir Aziz Stima (C)
8. Sallum Abubakar Sallum
9. Gaudence Exavery Mwaikimba
10. Kipre Hermann Brice Tchetche
11. Mcha Khamisi Mcha
Akiba
1. Aishi Sallum Manula
2. Malika Philipo Ndeule
3. David John Mwantika
4. Said Hussein Morad
5. Ibrahim Joel Mwaipopo
6. Himid Mao Mkami
7. Seif Abdallah Rashid Karihe


Simba 
line up: Abel Dhaira, Nassor Masoud (Captain), Issa Rashid, Gilbert Kaze, Joseph Owino, Jonas Mkude, Twaha Ibrahim, Said Hamis, Amisi Tambwe, Amri Kiemba na Haruni Chanongo.

Benchi: Abuu Hashim, Miraji Adam, Henry Joseph, Ramadhan Singano 'Messi', Betram Mwombeki, Abdulhalim Humud na Adeyum Ahmed.

Mtibwa Sugar line up: Hussein Sharrif 'Casillas', Hassan Ramadhan, Paul George, Dickson Mbeikya, Salim Abdallah, Shaaban Nditi (Captain), Ally Shomari, Masoud Mohamed, Juma Liuzio, Shabani Kisiga na Vincent Barnabas.

Benchi: Said Mohamed, Ally Ally, Musa Hassan, Abdallah Juma, Awadh Juma, Salum Sued 'Kussi', na Said Mkopi.


YANGA
1.All Mustapha 'Barthez' - 1
2.Mbuyu Twite - 6
3.David Luhende - 3
4.Nadir Haroub 'Cannavaro' - 23
5.Kelvin Yondani - 5
6.Athuman Idd 'Chuji' - 24
7.Nizar Khalfani - 16
8.Frank Domayo - 18
9.Didier Kavumbagu - 7
10.Hussein Javu - 21
11.Said Bahanuzi - 11

Subs:
1.Deogratius Munishi 'Dida' - 30
2.Juma Abdul - 12
3.Oscar Joshua - 4
4.Rajab Zahir - 14
5.Salum Telela - 2
6.Shaban Kondo - 15
7.Jerson Tegete - 10

1 comment:

  1. kwa habari na matukio ya real madrid
    https://www.facebook.com/pages/Real-Madrid-Fans-Tanzania/317731771594087

    ReplyDelete