Search This Blog

Friday, September 13, 2013

FRANCIS CHEKA KUFANYIWA HAFLA YA KUPONGEZWA LEO HII - SHAFFIH DAUDA MGENI MWALIKWA


Nikiwa bado nipo mjini Morogoro leo hii nimepokea mwaliko kutoka kwa mkuu wa mkoa wa Morogoro Mh.Joel Bendera kwenda kuhudhuria gafla fupi ya kumpongeza shujaa wa taifa na mkoa wa Morogoro Bondia Francis Cheka kwa kutwaa ubingwa wa duniani wa WBF kwa kumdunda bondia mmarekani hivi karibuni.

Hafla hiyo inafanyika leo katika uwanja wa Shujaa uliopo katika manisapaa ya Morogoro kuanzia 8:30 mchana.


No comments:

Post a Comment