Search This Blog

Wednesday, August 14, 2013

YANGA WATANGAZA MECHI YA SIMBA VS 3 PILLARS YA NIGERIA IMEFUTWA


Muda mfupi uliopita klabu ya Yanga kupitia akaunti rasmi ya mtandao wa Twitter imesema kwamba mechi ya kirafiki kati ya Simba dhidi ya 3 Pillars ya Nigeria iliyokuwa ichezwe leo imefutwa baada makamu mwenyekiti wa Simba Mzee Kinesi kusema haitambui mechi kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia mtandao huu

No comments:

Post a Comment