Search This Blog

Friday, August 16, 2013

WAYNE ROONEY NA LUIS SUAREZ WARUDI KUFANYA MAZOEZI NA VIKOSI VYA KWANZA VYA TIMU ZAO


Luis Suarez amerudi kufanya mazoezi na kikosi cha kwanza Liverpool baada ya kuwaomba radhi wachezaji wenzie na timu kwa ujumla baada ya kutoa maneno yaliyowachukiza wenzake na klabu kwa ujumla kuhusu ysakata la uhamisho wake.

Wiki iliyopita kocha Brendan Rodgers alisema kwamba Suarez hatoruhusiwa kufanya mazoezi na wenzake wa kikosi cha kwanza mpaka atakapoomba radhi.
Rooney akiwasili mazoezini leo asubuhi

Pia leo mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney abaada ya kufanya mazoezi na timu ya pili ya United wiki iliyopita, leo hii amerudi kujiunga na wenzake wa kikosi cha kwanza wakijiandaa na mechi ya kesho dhidi ya Swansea.

No comments:

Post a Comment