Search This Blog

Friday, August 16, 2013

KALI YA LEO: RONALDINHO ATOBOA SIRI: WAKATI NIKIWA BARCA KABLA YA MECHI NILIKUWA NAFANYA MAPENZI


dinhoteeth Ronaldinho has had an operation to fix his teeth, talks to Playboy about losing virginity at 13 

















Mwanasoka bora wa zamani wa dunia, mbrazil Ronaldinho Gaucho amezungumza na jarida la picha za kiutuzima PLAYBOY na kutoboa siri kwamba wakati akiwa anaichezea klabu ya FC Barcelona mara nyingi kabla ya mechi hasa za nyumbani alikuwa akifanya ngono kabla ya kwenda kuungana na wenzie kwenda uwanjani.

Akizungumza na PLAYBOY BRAZIL, Ronaldinho ambaye hivi karibuni alifanyiwa upasuaji wa kurekebisha fizi zake alisema: "Wakati nikiwa Barcelona mara nyingi nilikuwa nafanya mapenzi kabla ya mechi, na kwangu halikuwa tatizo bali faida kwa kiwango changu uwanjani, ilinisaidia kuwa katika hali ya furaha kabla ya mchezo na hvyo kunifanya nicheze vizuri.
 Ronaldinho pia aliliambia jarida hilo kwamba sasa ameacha ukicheche na ametulia na mwanamke mmoja ampendae kwa dhati, "Nimezama penzini sasa, Nina mchumba na maisha yangu naishi kwa utulivu zaidi. Huko nyuma nilikuwa sio muaminifu kwenye mapenzi, lakini sasa sina mpango wa kuwa namna hiyo. Mara ya kwanza nimeshiriki tendo la ndoa nilikuwa na miaka 13 na jirani yangu, hakikuwa kitendo kizuri kwa sababu bado tulikuwa watoto." 

1 comment:

  1. chezea dinyo ww?" ila ucshangae players wa kwetu pia wakiiga

    ReplyDelete