Search This Blog

Saturday, August 24, 2013

LIGI KUU YA VODACOM LIVE SCORE: YANGA VS ASHANTI, SIMBA VS RHINO, MTIBWA VS AZAM




Mbeya City 0-0 Kagera Sugar 

FT: JKT Oljoro 0-2 Coastal Union

FT Rhino Rangers 2-2 Simba wafungaji Imani Noel, Kipanga, Jonas Mkude 2

Dk 43 Simba 2-2 Rhino

Dakika 25 kipindi cha pili Rhino wanasawazisha. Simba 2-2 Rhino. 

Ashanti wanapata bao la kufutua machozi: Full Time Young Africans 5-1 Ashanti United 

 Full Time; Mtibwa Sugar 1-1 Azam Fc 

Dakika 90' Young Africans 5-0 Ashanti United Tegete 10' 58' Msuva 48' Niyonzima 74' Khalfan 90' 

Dakika ya 82, Young Africans inafanya mabadiliko anaingia Nizar Khalfani kuchukua nafasi ya Jerson Tegete

Kutoka Tabora mpira ni mapumziko Simba 2-1 Rhino

Dakika 74' Young Africans 4-0 Ashanti United Tegete 10' 68' Msuva 48 Niyonzima 74' 

Jonas Mkude tena anaiandikia Simba bao la pili - Rhino Rangers 1-2 Simba Sc Jonas Mkude 11' 38'Penati

Dakika 36' Rhino Rangers 1-1 Simba Sc 

Dakika ya 68, Young Africans inafanya mabadiliko anaingia Hussein Javu kuchukua nafasi ya Didier Kavumbagu

Dakika ya 58, Jerson Tegete anaipatia Young Africans bao la tatu

Dakika 49' Mtibwa Sugar 1-1 Azam Fc Luizio 4' Morris 33' Mabadiliko anatoka MCha Khamis aingia Kipre Bolou 

Dakika ya 50' JKT Ruvu  2-0 Prisons mfungaji Elias 46' 

Jonas Mkude anaiandikia Simba la kuongoza dhidi ya Rhino 

Yanga 2-0 Ashanti (Msuva dk 47)

Kipindi cha pili kinaanza uwanja wa Taifa Dsm - Yanga vs Ashanti.

Updates: Mpira ni Mapumziko
Yanga 1 Ashant 0
Oljoro 0 Coastzl 2
Mtibwa 1 Azam 1
Ruvu 1 Prisons 0

Rhino 0 Simba 0 (Mechi inaendelea)

Mechi kati ya Simba vs Rhino inaanza sasa katika dimba la Al Hassan Mwinyi mjini Tabora.

Dakika 45 za kipindi cha kwanza mchezo wa Yanga vs Ashanti zimemalizika. Yanga 1-0 Ashanti

 DK 35 - JKT Oljoro 0-2 Coastal Union Mfungaji Abdi Banda 10' lingine Oljoro wamejifunga dakika 29.

Yanga 1 Ashant 0
Mtibwa 1 Azam 1
Oljoro 0 Coastal 1

Tabora mechi bado haijaanza

Kutoka Morogoro Mtibwa 1-1 Azam - Dakika ya 34
 
 Taarifa ya mwisho kutoka Tabora kwenye mechi kati ya Simba vs Rhino - mechi imechelewa kuanza kutokana na wachezaji kadhaa kutokamilisha leseni zao.

Dakika ya 18, Young Africans inafanya mabadiliko anaingia Frank Domayo kuchukua nafasi ya Athuman Idd 'Chuji' aliyeumuia
Dakika ya 15, Young fricans 1- 0 Ashanti United

Dakika ya 10, Jerson Tegete anaipatia Young Africans bao la kwanza

Mpira ndio umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati ya
Young Africans Vs Ashanti United

1 comment:

  1. CONGRATS SHAFFIH FOR SUCH A NICE "LIVE MATCH" PROGRAM. WE ARE SURELY ENJOYING EVEN THOUGH WE ARE AT KAHAMA TOWN ESPECIALLY WHEN MY LOVELY TEAM-DAR YOUNG AFRICAN PLAYING-KEEP IT UP-Mzuna,J

    ReplyDelete