Search This Blog

Monday, August 5, 2013

BASKETBALL ALL STARS BONANZA ILIVYOFANA:

Jumamosi ya Tarehe 3,August 2013 Inaingia katika kitabu cha Kumbukumbu kwenye Ulimwengu wa Kikapu Tanzania baada ya Tamasha la mpira wa Kikapu liliolandaliwa na Vijana city bulls kwa ushirikiano na wadau wa Kikapu Tanzania kuonekana kufana Sana.Bonanza hilo Lililoshirikisha Wachezaji wakali wa Kikapu Jijini Dar es salaam.Likisindikizwa na Burudani ya Muziki Bonanza hilo lilishuhudia mechi mbali mbali za Kufurahisha na kuhamasisha sana
Akitoa Mchango wake kwa Moyo Moja MCHEZAJI wa Mpira wa Kikapu katika LIGI YA MAREKANI NBA HASHEEM THABEET aliungana na Vijana waliojitokeza kusherehesha tamasha hilo.Tamasha lilipambwa na mechi za WANAWAKE,VETERANS NA Vijana shupavu lilifanyika katika viwanja vya Leaders club.
 Baadhi wa Wachezaji waliojitokeza katika Bonanza la Basketball all stars.
 HASHEEM THABEET akipeana mikono ya pongezi na kuagana na baadhi ya Wachezaji wa Vijana wanao wakilisha Taifa kwenye michuano ya zone V huko Burundi.
 HASHEEM akifanya yake na Vijana wa Kitanzania uwanja wa Leaders Club

 Baadhi ya makocha waliojitokeza KUTOA SUPPORT kwenye Bonanza hilo.

 HASHEEM THABEET AKIFUNGUA MAPAMBANO WAKATI TIMU ZA WANAWAKE/WASICHANA ZILIPOKUTANA

SOURCE:http://www.bongobasketball.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment