Search This Blog

Wednesday, July 17, 2013

NANI ZAIDI KITAKWIMU: WAYNE ROONEY VS JUAN MATA

Siku ya leo zilitoka taarifa kwamba Chelsea walituma ofa ya Paundi Millioni 10 pamoja na mchezaji mmoja aidha David Luiz au Juan Mata, ingawa muda mchache uliopita Chelsea walikanusha suala hilo - wakisema walituma ofa tu ya fedha.

Pamoja na hayo tu kumekuwepo na mjadala kama ni sahihi kwa United kukataa ofa ya 10m + Mata? Kama ni kweli Chelsea walituma ofa hiyo. 

Lakini ebu tujaribu kutazama kitakwimu kwa msimu uliopita ni nani zaidi baina ya wachezaji hawa wawili.


  

No comments:

Post a Comment