Search This Blog

Sunday, June 16, 2013

PICHA ZA MCHEZO WA TANZANIA DHIDI YA IVORY COAST




 Kikosi cha timu ya soka ya Tanzania 'Taifa Stars'
Kikosi cha Ivory Coast.
 Waamuzi wa mechi ya Stars na Ivory Coast wakiwa katika picha ya pamoja na manahodha wa timu zote mbili. 
Benchi la ufundi la timu ya Taifa Stars. 
 Benchi la ufundi la timu ya Ivory Coast.
 Thomas Ulimwengu akimtoka mchezaji wa Ivory Coast, Bamba Souleman
 Ni hatari.
 Heka heka.
Gooooooooo. 

 Thomas Ulimwengu akishangilia bao la pili la Stars.
Mashabiki wakishangilia.
Wachezaji wa Taifa Stars wakishangilia bao la kwanza la timu hiyo katika mchezo wa kufuzu fainali za kombe la dunia dhidi ya Ivory Coast. Stars ilifungwa 4-2. 
 Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen akilalamikia penalti iliyotolewa na mwamuzi, Mehdi Abid.  
 Beki wa Taifa Stars, Shomari Kapombe akitafuta mbinu za kumtoka mchezaji wa Ivory Coast, Aurier Alain katika mchezo wa kufuzu fainali za kombe la dunia uliuofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Wachezaji wa Ivory Coast wakisalimia na wenzao.
Mshambuliaji wa Taifa Stars, Amri Kihemba akiwatoka mabeki wa timu ya Ivory Coast,  katika mchezo wa kufuzu fainali za kombe la dunia uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Ivory Coast ilishinda 4-2. 
Mshambuliaji wa Stars, Thomas Ulimwengu akimtoka, Bamba Souleman.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA HABARIMSETO BLOG


No comments:

Post a Comment