Search This Blog

Friday, June 14, 2013

MANUEL PELLEGRINI ATHIBITISHWA KUWA KOCHA MPYA WA MANCHESTER CITY - ASAINI MIAKA 3 - ANGALIA INTERVIEW YAKE YA KWANZA KABISA BAADA YA KUSAINI MKATABA NA CITY

Kocha Manuel Pellegrini ameteuliwa rasmi kuwa kocha mpya wa Manchester City leo hii akiichukua nafasi ya kocha Roberto Mancini. Pellegrini ambaye aliiwezesha Malaga kufika hatua ya nusu fainali kwenye ligi ya mabingwa wa ulaya msimu uliopita amesaini mkataba wa miaka mitatu na klabu hiyo ya jiji la Manchester. ANGALIA INTERVIEW YAKE YA KWANZA KABISA BAADA YA KUTHIBITISHWA KUWA KOCHA MPYA WA MAN CITY   

No comments:

Post a Comment