Search This Blog

Saturday, June 8, 2013

EXCLUSIVE: JUMA NYOSSO ASAINI RASMI COASTAL UNION

Aliyekuwa mchezaji wa klabu ya Simba Juma Nyosso akisaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Coastal Union ya Tanga. 
Nyosso jana alivunja mkataba na klabu ya Simba na leo hii amekuwa mchezaji wa pili kutoka Simba kujiunga na Coastal, Haruna Moshi Boban alikuwa wa kwanza.
Boban na Nyosso wote wamesaini mikataba ya muda wa mwaka mmoja mmoja.

1 comment:

  1. Nyosso na Moshi watacheza Mpira Coastal.

    ReplyDelete