Search This Blog

Thursday, May 16, 2013

SIKU KAMA YA LEO MWAKA 2012: PATRICK MAFISANGO ALIPOTEZA MAISHA YAKE KWA AJALI YA GARI



HILI NDIO GOLI LA MWISHO KUFUNGWA NA MAFISANGO WAKATI WA UHAI WAKE


Tarehe kama ya leo mwezi wa tano mwaka 2012, klanu ya ya Simba ilimpoteza kiungo wao wa kutumainiwa Patrick Mafisango Mutesa aliyepata ajali ya gari maeneo ya Tazara wakati akijaribu kumkwepa mwendesha pikipiki na kwa bahati mbaya gari lake likakosa balance na kuingia mtaroni na hapo ndipo alipopeteza maisha.

2 comments:

  1. ilikuwa TAZARA au Keko?

    ReplyDelete
  2. R.I.P Mutesa Mafisango, but umetuachia Amri Kiemba nae anafuata njia zako.

    ReplyDelete