Search This Blog

Thursday, May 16, 2013

CLOUDS THE DREAM TEAM KESHO KUKIPIGA NA IFM UWANJA WA NYUMBANI TANGANYIKA PARKERS

The Dream team ya Clouds FM kesho itadondoka kwenye uwanja wake wa nyumbani wa Tanganyika Parkers kukipiga na timu ya chuo cha usimamizi wa fedha cha IFM kuanzia majira ya saa 10 jioni.

1 comment: