Search This Blog

Wednesday, May 15, 2013

MSIMU MPYA WA THE LEGEND IS BACK!

Msimu mpya wa the legend is back , unaokwenda kwa jina la NIGHT OF THE LEGENDS au USIKU WA MALENGEDARI unaofanyika kila jumamosi katika ukumbi mpya ISUMBA LOUNGE zamani jollys club, wadau wote hasa wapenda burudani na mashabiki wa JOHN DILLINGA mnakaribishwa.

No comments:

Post a Comment