Search This Blog

Wednesday, May 29, 2013

MAREHEMU NGWAIR ALIKUWA SHABIKI MKUBWA WA KLABU YA MANCHESTER UNITED

Katika kumfahamu marehemu Albert Mangwea nje ya muziki wake niligundua ni mpenzi mkubwa wa soka na alikuwa mmoja ya mashabiki wakubwa wa Klabu bingwa ya England Manchester United.

Ngwair ambaye alikuwa mmoja ya wanamuziki wakubwa wa Bongo Flava amefariki dunia nchini Afrika ya Kusini jana kwa sababu ambazo bado hazijafahamika.
Mwenyezi mungu ailaze mahala pema peponi roho ya marehemu.

No comments:

Post a Comment