Search This Blog

Friday, May 17, 2013

KALI YA LEO: MOURINHO AGOMA KWENDA KWENYE MKUTANO WA WAANDISHI WA HABARI - MWANDISHI AMALIZIA HASIRA ZAKE KWENYE PICHA YAKE


Jose Mourinho hakutokea kwenye mkutano wa waandishi wa habari siku moja kabla ya mchezo wa fainali wa Copa del Rey baina ya Real Madrid na Atletico Madrid, hivyo Sergio Ramos aliachwa kujibu maswali ya waandishi mwenyewe. Mwandishi mmoja wa kibrazil hakuridhishwa na suala la Mourinho kutotokea hivyo akaamua kuonyesha hasira zake kwa kuchana chana picha ya Mourinho.

Mwandishi huyo alikuwa akichana picha huku akisema kwamba kocha huyo wa kireno ni mpumbavu.

1 comment: