Search This Blog

Thursday, May 9, 2013

KALI YA LEO: MANCHESTER UNITED YAFUTA PICHA ILIYOONYESHA WANAMKARIBISHA DAVID MOYES KAMA KOCHA MPYA KWENYE FACEBOOK

Muda mfupi uliopita akaunti rasmi ya klabu ya Manchester United ilitoa pica iliyokuwa ikiwataarifu washabiki wa klabu hiyo juu ya uteuzi wa kocha wao mpya David Moyes, lakini ghafla baada ya dakika kadhaa picha ile ikaondolewa kwenye ukurasa huo wa Facebook wa United na kuzidi kuwaacha wapenzi wa soka duniani kwenye kujiuliza kwingi ni muda gani Mscotland huyo atathibitishwa na United kuwa mrithi rasmi wa Sir Alex Ferguson.

1 comment: