Search This Blog

Tuesday, April 23, 2013

MAAJABU: MTOTO KIPOFU AWATAMBUA WACHEZAJI WA BARCA KWA KUWASHIKA TU JAPO HAONI


Hi there: The nine-year-old managed to recognise Lionel Messi and Co
Hapa akijaribu kuwatambua Lionel Messi na Iniesta

Mtoto wa miaka tisa ambaye ni shabiki wa Barcelona ambaye ni kipofu, amewashangaza watu wengi wakiwemo mastaa wa Barca kwa kuweza kuwatambua kwa kuwashika tu. 

Mamadou Lamine, ambaye alizaliwa akiwa kipofu, alialikwa katika kituo cha kufanyia mazoezi cha Barca ili kukutana na mashujaa wake. 

Mtoto huyo alikuwa anashika mikono, paji la uso na vichwa vya Messi, Eric Abidal na Carlos Puyol, na akafanikiwa kuwatambua wote


I know you: He recognised Eric Abidal by rubbing the top of his head
Hapa akijaribu kumtambua Eric Abidal kwa kumshika kichwa na alifanikiwa

No comments:

Post a Comment