Search This Blog

Friday, April 5, 2013

DRFA YATANGAZA KUANZA KWA LIGI DARAJA LA PILI

Chama cha Mpira wa Miguu mkoa wa Dar es Salaam (DRFA),kimetangaza kuanza kwa ligi daraja la pili mkoa wa Dar es Salaam,hatua ya sita bora Aprili 9 mwaka huu ktk viwanja vya shule ya Benjamin William Mkapa,Kinesi na Airwing.Mechi za ufunguzi siku hiyo,Boom FC vs Shariff Star(airwing),Day Break vs Friends Rangers(makurumla),Red Coast vs Abajalo(kinesi).Mohamed Mharizo,Ofisa Habari DRFA.

No comments:

Post a Comment