Search This Blog

Thursday, March 21, 2013

JE LIONEL MESSI ATAIVUNJA REKODI YA CRISTIANO RONALDO KUZIFUNGA TENAZOTE ZA LA LIGA

Leo Messi anaweza kuifikia rekodi ya Cristiano Ronaldo kwa kuwa mchezaji wa pili kuifunga kila kitu kwenye La Liga ikiwa ataweza kufunga goli kwenye mechi dhidi ya Celta Vigo

Pia atakuwa mchezaji wa kwanza kufunga kwenye 19 mfululizo kwenye ligi, maana nyingine kufunga timu zote pinzani.


Tangu Barça waliposhinda 4-2 dhidi ya Mallorca, November 11, Messi amefunga kwenye kila mchezo wa La Liga, mechi 18 mfululizo. Katika mechi ijayo dhidi ya Celta Vigo akifunga atakuwa ameweka rekodi ya kufunga kwenye mechi 19 mfululizo.

Celta Vigo huwa wanamsumbua Messi
Mara ya mwisho Messi kushindwa kufunga kwenye La Liga ilikuwa kwenye mechi dhidi ya Celta, ambayo ndio pekee ambayo iliweza kumzuia Messi kugusa nyavu zao msimu huu. Timu zote zilizobakia zinajua balaa la Baba Tiago.

1 comment: