Search This Blog

Sunday, February 24, 2013

RYAN GIGGS NA REKODI YA KIPEKEE KWENYE SOKA: WAKATI ANAANZA KUICHEZEA MAN UNITED WACHEZAJI WA KIKOSI CHA SASA WALIKUWA NA UMRI GANI?


Siku ya jana Ryan Giggs alitimiza mechi ya 999 kukichezea kikosi cha wakubwa cha Manchester United. Katika kikosi cha sasa cha United, Giggs ndio mchezaji mwenye umri mkubwa zaidi. Wakati alipoanza kuichezea Man United kwenye mechi dhidi ya Everton ambayo kikosi cha Fergie kilifungwa 2-0 mwezi March 2, 1991. Wakati huo wachezaji wote wa kikosi cha sasa United walikuwa na umri huu.


Paul Scholes, 16 years, four months                           
Rio Ferdinand, 12 years, four months                        
Michael Carrick, nine years, eight months                  
Nemanja Vidic, nine years, five months                       
Patrice Evra, nine years, two months                          
Robin van Persie, seven years, seven months         
Darren Fletcher, seven years, one month                  
Anders Lindegaard, six years, 11 months                 
Ashley Young, five years, eight months                      
Antonio Valencia, five years, seven months               
Wayne Rooney, five years, five months                        
Nani, four years, four months                                       
Jonny Evans, four years two months

Anderson, two years, 11 months
Javier Hernandez, two years, eight months

Alexander Buttner, two years, one month
 Shinji Kagawa, one year, 11 months
Tom Cleverley, one year, seven months
Chris Smalling, one year, four months
 Ben Amos, 11 months
Rafael, nine months
David de Gea, three months
Danny Welbeck, three months
Phil Jones, not born (D.O.B 21 Feb 1992)
Nick Powell, not born (D.O.B 23 Mar 1994)

1 comment:

  1. Duh...nadhani huyu ndiye atakayekuwa mrithi wa Ferguson IN and OUT.

    ReplyDelete