Search This Blog

Tuesday, January 22, 2013

WESLEY SNEIJDER APOKEWA KIFALME GALATASARY

Haya ndio mapokezi aliyoyapata Wesley Sneijder alipowasili nchini Uturuki kujiunga na klabu yake mpya ya Galatasary akitokea Inter Milan.


Wesley Sneijder was greeted by a fanfare in Istanbul
Wesley Sneijder akilakiwa na mashabiki wa Galatasary
Crowd scene: Sneijder's arrival at Ataturk airport was seen by a host of supporters

Supporters find every place to shout their approval of Sneijder's signing


Mobbed: Fans climb on to Sneijder's car as he is paraded around


He was mobbed by thousands of fans as he made his way through the streets to talk to the media


 Sneijder met up with officials from Galatasary in the capital

2 comments:

  1. sneijder pamoja ya kuwa anaenda galatasaray najua moyoni anaumia sana kuikosa Man united akiangalia mwaka huu fergie wala hakumuwaza mana mwaka jana aliumia sana kwa kumtaka ila sasa ivi hata kusikia amemtania nakuhitaji kwenye team yangu wapi daah ndo shughuli imeisha hapo

    ReplyDelete
    Replies
    1. Aende zake tu...mwaka jana alituumiza wengi kwa kukataa kwake kuja man...kisa alitaka mshiko mkubwa,sidhani hata kama huko atalipwa kama ambavyo man walitaka kumlipa....

      Delete