Search This Blog

Saturday, January 26, 2013

SIMBA, COASTAL UNION, AZAM ZAUA - MTIBWA YAPIGWA KWAO MANUNGU

Simba ya Dar es Salaam leo imeanza vyema mzunguko wa pili wa kuutetea ubingwa wao wa ligi kuu ya Tanzania bara baada ya kuichapa mabao 3-1 African Lyon katika dimba la uwanja wa taifa.
Pamoja na mechi ya Simba pia leo kulikuwa na mechi nyingine za ligi kuu ya bara na matokeo yalikuwa kama ifuatavyo

RUVU SHOOTING 1-0 JKT RUVU
 OLJORO 3-1 TOTO AFRICAN
 AZAM FC 3-1 KAGERA SUGAR
 MTIBWA SUGAR 0-1 POLISI MORO
 COASTAL UNION 3-1 MGAMBO SHOOTING

No comments:

Post a Comment