Search This Blog

Saturday, January 19, 2013

HII NDIO YANGA BWANA - HIVI NDIVYO ILIVYOWATANDIKA WASAUZI TAIFA LEO

 Didier Kavumbagu (kushoto) akijaribu kumtoka beki wa Black Leopards, wakati wa Mchezo huo, uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Wachezaji wa Yanga, wakishangilia bao lililofungwa na Jerry Tegete.
jj
 Kikosi cha Yanga.
 Kikosi cha Black Leopards.
 Mchezaji wa Yanga, Kabange Twite (kushoto) akimiliki mpira huku akidhibitiwa na beki wa Black Leopards, Nkosiabo Xakane, wakati wa mchezo huo.
Mashabiki wa Yanga, wakishangilia bao lililofungwa na Jerry Tegete. (PICHA NA SUFIANI MAFOTO)

1 comment:

  1. jambo ambalo Yanga walifanya kwenda kuweka kambi uturuki linamaana kubwa sana kwa nchi, timu na wachezaji kwani limeongeza Khari lakini pia kuwatangaza wachezaji wetu. huo ni uwekezaji ambao siyo lazima kona matunda yake leo lakini muda si mrefu tutaona

    ReplyDelete