Search This Blog

Wednesday, January 23, 2013

HATIMAYE PIQUE NA SHAKIRA WAPATA MTOTO WA KIUME - MAMA YAKE ASEMA TAYARI AMESHAJIUNGA NA BARCA UTOTONI


Shakira amekuwa kwa mara ya kwanza baada ya kujifungua salama mtoto wa kiume aliyempa jina la Milan. 

Muimbaji huyo tayari ametangaza habari  kwenye tovuti yake, akisema mwanae ameshaanza kufuata nyayo za baba yake, mwanasoka Gerard Pique, akisema: "Kama baba, mtoto Milan amekuwa member wa FC Barcelona baada tu ya kuzaliwa."
 
Aliongeza:  "Tuna furaha kutangaza kuzaliwa kwa Milan Pique Mebarak, mtoto wa Shakira Mebarak na Gerard Pique, aliyezaliwa January 22nd at 9:36pm, jijni Barcelona, Spain.

1 comment:

  1. saaafi sana big up kaka yaani huo ndo uanaume pique @Kibona wa chunya

    ReplyDelete