Search This Blog

Friday, December 7, 2012

UGANDA YAINGIA FAINALI BAADA YA KUICHAPA KILIMANJARO STARS MABAO 3:0

 Beki wa Kilimanjaro Stars, Erasto Nyoni akitafuta mbinu ya kumpita beki wa timu ya Uganda, Godfrey Walusimbi wakati wa mchezo wa nusu fainali ya pili ya michuano ya Cecafa challenge uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela nchini Uganda jana. Uganda ilishinda 3-0.
 Mwinyi Kazimoto (mwenye mpira katikati) akiambaa na mpira wakati wa mchezo wa nusu fainali ya pili ya michuano ya Cecafa Challenge uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela nchini uganda jana. Uganda ilishinda 3-0.
 Mshambuliaji wa timu ya Kilimanjaro Stars, Mrisho Ngasa akimuweka chini beki wa timu ya Uganda wakati wa mchezo wa nusu fainali ya pili ya michuano ya Cecafa Challenge uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela jana. Uganda ilishinda 3-0.
 Wachezaji wa Kilimanjaro Stars wakiwasalimia mashabiki kabla ya kuanza kwa mchezo wa nusu Fainali ya pili ya michuano ya Cecafa Chalenge dhidi ya wenyeji, Uganda uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela jana. Uganda ilishinda 3-0.
 Mchezaji wa Kilimanjaro Stars, Mwinyi Kazimoto (kushoto) akimlamba chenga beki wa timu ya Uganda, Godfrey Walusimbi wakati wa mchezo wa nusu fainali ya pili ya michuano ya Cecafa Challenge uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela jana. Uganda ilishinda 3-0.
Mshambuliaji wa Kilimanjaro Stars, John Bocco akiwania mpira na beki wa timu yaUganda, Isaac Isinde wakati wa mchezo wa nusu fainali ya pili ya michuano ya Cecafa challenge uliochezwa katika Uwanja wa Nelson Mandela jana. Uganda ilishinda 3-0.

1 comment: