Search This Blog

Sunday, December 16, 2012

Mh Membe aitakia kila lakheri na fanaka Clouds media group kwenye shamra shamra zake za kutimiza miaka 13

div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano ya Kimataifa,Mh Bernard Membe pichani kulia akiagana na Ofisa Habari wa Clouds Media Group,Simalenga Saimon mapema leo mchana,kwenye viunga vya ofisi hizo zilizopo Mikocheni jijini Dar,Mh Membe alifika kwenye ofisi hizo kwa ajili ya kufanya mahojiano mafupi kuhusiana na mambo mbalimbali yanayoihusu wizara yake sambamba na kuitakia kheri na fanaka kampuni ya Clouds Media Group wakati ikiwa kwenye msimu wa sherehe na shamra shamra zake za kutimiza miaka 13 tangu kuanzishwa kwake.

No comments:

Post a Comment