Search This Blog

Saturday, December 22, 2012

HIVI NDIVYO STARS ILIVYOMUADHIRI BINGWA WA AFRIKA ZAMBIA

 
Mchezaji wa Taifa Stars Mrisho Ngasa akishangilia na kupongezwa na wenzake mara baada ya kufunga goli la mkwanza katika mchezo huo.
 
Wachezaji wa Taifa Stars wakitoka nje ya uwanja kwa mapumziko baada ya kipindi cha kwanza kuisha kwenye uwanja wa Taifa.
Mashabiki wa timu ya Taifa Stars wakishagilia mara baada ya Mrisho Ngasa kufungo goli la kwanza dhidi ya Chipolopolo katika mchezo huo
Kikosi cha timu ya Zambia kikiwa katika picha ya pamoja.
Kulia ni Rais wa Chama cha Mpira wa Miguu nchini Zambia Kalusha Bwalya na mabalozi wa Zambia nchini Judith Kangoma-Kapijimpanga na Balozi Tanzania nchini Zambia Bi. Grace Mujumi ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mchezo huo.
Mashabiki wa timu ya taifa ya Zambia wakishangilia timu yao katika mchezo huo.

Mashabiki wa Stars wakishangilia timu yao dhidi ya Zambia



Makocha wa Zambia wakitoka uwanjani baada ya mechi kuisha

Mcha akiwapeleka puta mabeki wa Zambia


PICHA KWA HISANI YA Michuziblog na Fullshangwe

No comments:

Post a Comment