
Kocha huyo mwenye miaka 44 alifanyiwa upasuaji wa kuondoa uvimbe/tezi hilo mwezi November 2011 wakati alipokuwa kocha msaidizi wa klabu hiyo.
Alichukua majukumu ya kuwa kocha mkuu wa Barcelona baada ya Pep Guardiola kuachia ngazi na Vilanova akasaini mkataba wa miaka miwili.
Barcelona wametangaza kusitisha shamra shamra za sikukuu ya Krismas huku wakiwa kwenye mchakato wa kumtafuta mbadala wa Tito
RECORD ZA VILANOVA AKIWA NA BARCELONA MPAKA SASA
Pld 27 W 23 D 2 L 2 (85.18% win ratio)

No comments:
Post a Comment