Search This Blog

Wednesday, October 31, 2012

LIVE MATCH CENTRE: YANGA 3 - 0 MGAMBO JKT - SIMBA 1 - 1 POLISI MORO FULL TIME


Mpira umemalizika, Young Africans 3 - 0 Mgambo JKT
Cannavaro dkk 2
Didier dkk 39
Tegete dkk 80
DK 83: Salum Mlima wa Mgambo anaonyeshwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Mbuyu Twitte 
DK 80: Jerry Tegete anaifungia Yanga bao la tatu.
 Dakika ya 77, Young Afrticans inafanya mabadiliko, anaingia Nurdin Bakari anatoka Frank DomayoDakika ya 75, Young Africans 2 - 0 Mgambo JKT 
Kutoka Morogoro - DK 90 Simba 1 - 1 Polisi
Dakika ya 69, Young Africans inafanya mabadiliko anaingia Jeryson Tegete anatoka Didier Kavumbagu
Dakika ya 60, Young Africans 2 - 0 Mgambo JKT
Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Young Africans inafanya mabadiliko, anaingi Kelvin Yondani kuchukua nafasi ya Shadrack Nsajigwa 
DK 57: Amri Kiemba anaisawazishia Simba hapa. Simba 1- 1 Polisi.
 Kutoka Morogoro - Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Jamhuri Morogoro
Mpira ni mapumziko Yanga 2-0 Mgambo
Goal: Yanga 2-0 Mgambo (Didier Kavumbagu)
Kutoka Morogoro - Mpira ni Mapumziko - Polisi 1-0 Simba
Simon Msuva anakosa bao la wazi baada ya kubaki na kipa wa Mgambo
 Dakika ya 30, Young Africans 1 - 0 Mgambo JKT
DK 21: Yanga inatawala zaidi mchezo huu hasa katikati, huku Mgambo wakiwa hawajafanya hata shambulizi moja la maana.
Kutoka Morogoro - DK 36 Polisi Moro 1 - 0 Simba
Dakika ya 15, Young Africans 1 - 0 Mgambo JKT
Kutoka Morogoro - Dakika 35, Simba 0-0 Polisi.
  Kutoka Morogoro Kikosi cha Simba vs Polisi: Kaseja, Maftah, Chollo, Hatib, Kiemba, Mkude, Ochieng, Kazimoto, Sunzu, Ngassa, Okwi
Dakika ya pili, Nadir Haroub 'Cannavaro' anaipatia Young Africans bao la kwanza
Mpira ndio umeanza hapa Uwanja wa Taifa kati ya
Young Africans Vs Mgambo JKT
  KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO
1.Ally Mustapha 'Barthez'
2.Shadrack Nsajigwa
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub 'Cannavaro'
5.Mbuyu Twite
6.Athuaman Idd 'Chuji'
7.Saimon Msuva
8.Frank Domayo
9.Didier Kavumbagu
10.Hamis Kiiza
11.Haruna Niyonzima

Subs:
1.Yaw Berko
2.Nurdin Bakari
3.David Luhende
4.Kelvin Yondani
5.Nizar Khalfani
6.Rashid Gumbo
7.Jeryson Tegete

No comments:

Post a Comment