Search This Blog

Friday, October 19, 2012

BREAKING NEWS! AMINI BAKHRESSA APIGWA CHINI,KAMATI YA NDOLANGA YAVUNJWA

Hatimaye gwiji la chama cha soka mkoa wa Dar Es Salaam, Bwana Amini Bakhressa ameondolewa kuendelea kutetea nafasi yake ya uenyekiti wa DRFA baada ya kushindwa kukidhi vigezo.
pia kamati ya uchaguzi ya DRFA chini ya mwenyekiti Alhaj Muhidini Ndolanga imevunjwa kutokana na kushindwa kuusimamia mchakato wa uchaguzi wa DRFA.

Habari zaidi zitafuata!!!!

No comments:

Post a Comment