Search This Blog

Friday, September 21, 2012

Mwigizaji kwa jina la James Bond akiwa juu la dhamira ya siri katika kampeni maalumu ya Heineken®



Daniel Craig akiigiza pamoja na mwigizaji wa filamu ya  SKYFALL Bond akiitwa Bérénice Marlohe katika kapeni hii mpya

Heineken ®, ikileta filamu ya SKYFALL ™ Afrika Mahariki ikizinduliwa nchini Kenya, Uganda Na Tanzania


Tarehe 20 Septemba 2012 - Heineken®, bidhaa inayoongoza katika bia yenye hali ya juu duniani, leo imezindua kampeni mpya ya TV na digitali, ikingojea uzinduzi wa filamu inayoitwa  SKYFALL™ ikiwa filamu ya 23 ya James Bond, kwenye igizo hili tunamona Daniel Craig akileta mwigizaji wakulipua ya James Bond katika tangazo maalum ya Heinken kwa mara ya kwanza. Wakitoa changamoto kwa wateja kuwapinga maadui zao na ‘tatua tatizo’, watazamaji watachukuliwa katika safari pamoja na mwigizaji mpya mrembo Bérénice Marlohe.

Uzoefu wakidigitali inaanza mahali tangazo ya TV inapoishia, watazamaji wakialikwa kwenye treni na Bérénice kabla haijaendelea na safari katika muamko mzuri kwenye milima yenye barafu. Kuwaweka watazamaji katika wenendo zao, kutakuwa na vipimo ambayo itawapeleka ‘kutatua tatizo’ wakilinda yaliyomo kutoka wale watu wabaya.

Heineken® inaubia ya kimataifa katika igizo hii la James bond na watatoa uzoefu kwa wateja wao wa Afrika mashariki kwa kuleta matukio haya tarehe 25 Oktoba ndani ya IMAX nchini Kenya, ndani ya Mlimani City nchini Tanzania na Oasis nchini Uganda, wiki moja baada ya filamu hii kuzinduliwa.

Kampeni hii ikiendelea, wateja wa Heineken® watapata fursa yakushinda tiketi wakishiriki katika promosheni katika menendo za usiku nchini hapa Tanzania na wakibofya www.facebook.com/heineken.

Picha zikipigwa ndani ya Shepperton Studios, kampeni hii yakidigitali inawakumbuka filamu ya James Bond zikiwa na vipande vya filamu zingine za awali. Magari ya treni yalivutiwa na muvie ya Ken Adam, wakati muvie za James bond zilitumika katika tangazo hii.
Koen Morshuis, Mkurugenzi Mkuu, HEINEKEN Afrika Mashariki alisema ‘ Tumefurahishwa kuleta uzinduzi huu kabla ya uzinduzi rasmi wa filamu hii na kubadilishana uzoefu wa igizaji wa Bond na wateja wetu nchini Kenya, Tanzania and Uganda. Kama Heineken, James Bond ni mali yakimataifa ambayo inawafikia wateja ulimwenguni. Siyo kuwa shujaa tu, Bond ni ‘mwanaume wa taifa’ – anajiamini, anajiweza na yuko tayari kwa kila jambo, maadili ya Heineken.
 
Interesting facts on the ‘Crack the Case’ Television Commercial:
·         The film was primarily shot at Shepperton Studios. Elements were also filmed at a train station in Timișoara, Romania, with a team who were able to transform a 28 degree set into a snowy landscape. 
·         Replica James Bond film props were used throughout the film as a tribute to the franchise and fans alike. Eagle-eye spectators will also spot the Spectre ring from ‘Dr. No’, the Zorin industries and Spectre logos and the Faberge Eggused in‘From Russia with Love’ and ‘Goldeneye’.
·         The soundtrack titled ‘Man Like That’ was written and performed by rising New Zealand music star Gin Wigmore, who also makes an appearance in the film.


Heineken and James Bond
Heineken has developed a strong and successful relationship with James Bond spanning global partnerships with ‘Tomorrow Never Dies’, ‘The World is Not Enough’ , ‘Die Another Day’, ‘Casino Royale’ and ‘Quantum of Solace’ .
About SKYFALL™
Daniel Craig is back as Ian Fleming’s James Bond 007 in SKYFALL™, the 23rd adventure in the longest-running film franchise of all time. In SKYFALL, Bond’s loyalty to M is tested as her past comes back to haunt her. As MI6 comes under attack, 007 must track down and destroy the threat, no matter how personal the cost. The film is from Albert R. Broccoli’s EON Productions, Metro-Goldwyn-Mayer Studios, and Sony Pictures Entertainment. Directed by Sam Mendes. Produced by Michael G. Wilson and Barbara Broccoli. Written by Neal Purvis & Robert Wade and John Logan. 
About Heineken®:
The Heineken brand bearing the founder’s family name - Heineken - is available in almost every country around the globe, and it is the world’s most valuable international premium beer brand. Additional information is available on www.heineken.com and on www.theHEINEKENcompany.com, www.Facebook.com/Heineken.
About Albert R. Broccoli's EON Productions
EON Productions Limited and Danjaq LLC are wholly owned and controlled by the Broccoli/Wilson family. Danjaq is the US based company that co-owns, with MGM, the copyright in the existing James Bond films and controls the right to produce future James Bond films as well as all worldwide merchandising. EON Productions, an affiliate of Danjaq, is the UK based production company which makes the James Bond films. The 007 franchise is the longest running in film history with twenty-two films produced since 1962. Michael G Wilson and Barbara Broccoli succeeded Albert R ‘Cubby’ Broccoli and have produced some of the most successful Bond films ever including CASINO ROYALE and QUANTUM OF SOLACE. They are currently producing the 23rd film, SKYFALL.
About Metro-Goldwyn-Mayer Studios Inc.
Metro-Goldwyn-Mayer Studios Inc. (“MGM”) is a leading entertainment company focused on the production and distribution of films and television content globally. The company owns one of the world’s deepest libraries of premium film and television programming. In addition, MGM has ownership interests in domestic and international television channels, including MGM-branded channels. For more information, visit www.mgm.com
About Sony Pictures Entertainment
Sony Pictures Entertainment (SPE) is a subsidiary of Sony Corporation of America, a subsidiary of Tokyo-based Sony Corporation. SPE's global operations encompass motion picture production and distribution; television production and distribution; home entertainment acquisition and distribution; a global channel network; digital content creation and distribution; operation of studio facilities; development of new entertainment products, services and technologies; and distribution of entertainment in 159 countries. For additional information, go to http://www.sonypictures.com

Press enquiries:
Koen Morshuis
General Manager
Heineken East Africa

No comments:

Post a Comment