Search This Blog

Thursday, September 27, 2012

MJADALA: SUAREZ ALIFUNGIWA MECHI 8 KWA UBAGUZI - BARTON MECHI 12 KWA RAFU: JOHN TERRY MECHI 4 KWA UBAGUZI. JE HII NI SAWA???




HAYA NI MAONI YA MCHEZAJI WA JOEY BARTON
"Mechi nne tu? Mwaka mzima wa uchunguzi, siku nne za usikilizwaji wa kesi na adhabu ya kufungiwa mechi 4 tu? Suarez alifungiwa 8.

"Mimi nilifungiwa mechi 12!!! Kwa uamuzi huu wa FA, ina maana ningepata adhabu ndogo kwa kuwatukana kibaguzi wachezaji wa Man City kuliko ambavyo nimeadhibiwa kwa kuwachezea faulo. Kwa namna hiyo inaweza ikawa sawa???

No comments:

Post a Comment