Search This Blog

Saturday, September 29, 2012

HUYU NDIO KOCHA MPYA WA YANGA - ERNIE BRANDTS

 
Hatimaye leo hii klabu bingwa ya Afrika mashariki na kati Dar Young Africans imemtambulisha rasmi kocha wake mpya Mholanzi Ernie Brandts.

Kocha huyu ambaye miezi michache iliyopita alikuwa mwalimu wa klabu bingwa ya Rwanda, APR aliwasili jijini Dar es Salaam jana usiku na leo asubuhi ametambulishwa rasmi kwa waandishi wa habari na kusaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuifundisha klabu hiyo ya Jangwani.

Brandts ambaye amewahi kuwa mchezaji wa timu ya taifa ya Uholanzi na klabu kubwa ya nchi hiyo PSV Eindhoven akicheza kwenye nafasi ya ulinzi, amekuja Yanga kuchukua nafasi ya mbelgiji Tom Saintfiest aliyetimuliwa wiki iliyopita baada ya kukaa kwenye klabu hiyo kwa siku 81.


HII NDIO PROFILE YA KOCHA MPYA WA YANGA ERNIE BRANDT.


Ernie Brandts
Ernie Brandts 1978.jpg
Personal information
Full name Ernstus Wilhelmus Johannes Brandts
Date of birth 3 February 1956 (age 56)
Place of birth Nieuw-Dijk, Gelderland
Height 1.81 m (5 ft 11 12 in)
Playing position Defender (retired)
Club information
Current club APR FC
Youth career

De Sprinkhanen (Nieuw-Dijk)
Senior career*
Years Team Apps (Gls)
1974–1977 De Graafschap 38 (2)
1977–1986 PSV Eindhoven 251 (23)
1986–1989 Roda JC 68 (4)
1988–1989 MVV Maastricht 16 (0)
1989–1991 K.F.C. Germinal Beerschot 59 (5)
1991–1992 De Graafschap 20 (0)
National team
1977–1985 Netherlands 28 (5)
Teams managed
1993–2002 PSV Eindhoven (youth and assistant)
2002–2004 RKSV Nuenen
2005–2006 FC Volendam
2006–2008 NAC Breda
2009 Rah Ahan
2010– APR FC

1 comment:

  1. Haijui Yanga huyo, wanakupokea kwa mbwembwe na kukufukuza kwa mbwembwe, ha ha ha ha ha ha ha ha

    ReplyDelete