Search This Blog

Thursday, August 16, 2012

TAIFA STARS VS BOTSWANA KTK PICHA !


 Mshambuliaji wa Taifa Stars Mrisho Ngassa akijaribu kumtoka beki wa timu ya Botswana, Zebras Oscar Neenga wakati wa mechi Kirafiki ya Kimataifa iliyochezwa jana kwenye Uwanja wa Molopolole mjini Gaborone Bostwana, timu hizo zilitoka Sare ya kufungana mabao 3-3.

Mabeki wa timu ya taifa ya taifa stars wakimwangilia mshambuliaji wa timu ya taifa ya Botswana akifunga bao la tatu wakati wa mechi ya kirafiki iliyochezwa jana kwenye uwanja wa Molepolole mjini Gaborone

No comments:

Post a Comment