Search This Blog

Saturday, July 28, 2012

KLABU YA TSG HOFFENHEIM YAIALIKA TSC MWANZA KUFANYA NAO MAZOEZI - WALA CHAKULA CHA USIKU PAMOJA

Wakiendelea na ziara yao nchini Ujerumani - timu ya TSC Mwanza leo imealikwa na kufanya mazoezi ya pamoja na kubadilishana mbinu mbalimbali na klabu ya TSG 1899 Hoffenheim  under 19 ya Ujerumani. Klabu zilianza mazoezi jioni na baada ya kumaliza walikwenda kujisafisha kabla ya kupata dinner ya pamoja.

Dauda nilikuwepo

Nikiwa na wachezaji wa TSG Hoffenheim na TSC Mwanza baada ya mazoezi

Mazoezi ya pamoja

Kocha wa TSC Mwanza Bwana Kaijage alipewa zawadi ya jezi ya klabu ya TSG Hoffenheim


BAADA YA MAZOEZI NAHODHA WA TIMU TSG HOFFENHEIM ALITOA RISALA YA KUWASHUKURU TSC MWANZA MENGINE YAKAENDELEA KATIKA PITA PITA YANGU KWENYE JENGO LA TSG HOFFENHEIM - NIKAINGIA KWENYE LAUNDRY HAPA NI GYM YA ACADEMY YA TSG HOFFENHEIM WABONGO TUIGE HII KITU - PROGRAM NZIMA YA MAZOEZI NDANI YA MWEZI BAADA YA YOTE - HATIMAYE VIJANA WAKAKARIBISHWA DINNER

2 comments:

  1. Kweli bado tuko mbali sana; ila tatizo letu ni kuwa hizi klabu kubwa Simba na Yanga zina mtaji wa kutosha kufanya haya ila wajanja wachache wanatuangusha. Napenda niwalaumu watu wa Media kama ninyi akina Shaffii kwa kuendelea kuwapamba hawa viongozi kama akina Kaburu, Rage, Malinzi ambao kwa ufuatiliaji wangu ni waganga njaa zaidi na wala hawana utashi wa kweli kusaidia soka la Tanzania.

    ReplyDelete
  2. Ndugu yangu shafii tafuta basi camera nzuri urekodi clips ndefu kidogo unatuboa na vipande vifupi fupi unavyotuwekea

    ReplyDelete