Search This Blog

Friday, July 6, 2012

CRISTIANO RONALDO AWAZIDI MESSI NA BECKHAM KWA KUWA NA MASHABIKI WENGI FACEBOOK


Hii ndio listi ya wachezaji maarufu zaidi kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook,Baada ya kuibuka wa pili kwa wachezaji wenye fedha nyingi zaidi nyuma ya David Beckham - Cristiano Ronaldo ameonekena kuwa maarufu zaidi kwenye mtandao huo kwa kuwa na mashabiki millioni 46.3, huku akifuatiwa na mpinzani wake Lionel Messi. Tajiri Beckham amekata nafasi ya tatu huku Kaka na Iniesta wakifunga Top 5.
 
1) Cristiano Ronaldo - 46.3m
2) Lionel Messi - 37m
3) David Beckham - 19.5m
4) Kaka - 17.3m
5) Andres Iniesta - 10.2m
6) Fernando Torres - 10.1m
7) Wayne Rooney - 9.4m
8) Steven Gerrard - 7.1m
9) David Villa - 6.1m
10) Mesut Ozil - 5.7m

1 comment:

  1. Pia angalia lini Messi na Ronaldo walijiunga Facebook, halafu Facebook linganisha!

    ReplyDelete