Search This Blog

Saturday, June 30, 2012

OFFICIAL: LAURENT BLANC AJIUZULU KUIFUNDISHA UFARANSA





CHECKING OUT ... Laurent Blanc
Laurent Blanc amejiuzulu rasmi kuwa kocha wa timu ya taifa ya Ufaransa.

Taarifa zilianza kusambaa mapema leo kwamba kocha huyo wa zamani wa Bordeaux hatoendelea na kazi ya bosi wa benchi la ufundi wa Les Bleus baada ya mktano wake na viongozi wa Shirikisho la soka la Ufaransa.

FFF baadae wakathibitisha kwamba kocha huyo mwenye miaka 46 hatoengeza mkataba mpya kufuatiwa Ufaransa kuondolewa kwenye Euro 2012 kwa kufungwa 2-0 na Spain kwenye hatua ya robo fainali.

No comments:

Post a Comment