Search This Blog

Friday, June 1, 2012

EXCLUSIVE: TAIFA STARS WAKIWA KWENYE MAZOEZI JIJINI ABDIJAN

Wachezaji wa timu ya soka ya Taifa 'Kilimanjaro Taifa Stars' wakiwa kwenye
mazoezi ya viungo
          
Wachezaji wa timu ya soka ya Taifa 'Kilimanjaro Taufa Stars' wakiwa kwenye
mazoezi chini ya Kocha Msaidizi Sylvester Marsh.

Wachezaji wa timu ya soka ya Taifa 'Kilimanjaro Taifa Stars' wakiwa kwenye
mazoezi ya viungo chini ya Kocha Mkuu wa timu hiyo, Kim Poulsen.
Juma Nyosso na John Bocco wakipambana kwenye mazoezi.

Kipa wa timu ya soka ya Taifa 'Kilimanjaro Taifa Stars' akiwa kwenye
mazoezi ya viungo

Wachezaji wa timu ya soka ya Taifa 'Kilimanjaro Taifa Stars' wakiwa kwenye
mazoezi ya viungo chini ya Kocha Mkuu wa timu hiyo, Kim Poulsen.

2 comments: